Tabu wanayokutuna nayo Wasafiri stendi Ubungo

abiria wakiwa katika hali ya kukata tamaa kutokana na changamoto hiyo ambapo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara katika kipindi cha mwisho wa mwakana msimu wa Sikukuu.
Kutokana na changamoto hizi mara kadhaa serikali kupitia mamlaka husika imekuwa ikifanya jitihada ili kuhakikisha suala hilo linapatiwa ufumbuzi ikiwemo kutumia usafiri wa Daladala endapo ukikidhi viwango.
No comments