Mbwana Samatta kapewa mkataba mpya KRC Genk

Samatta ameongeza mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kuichezea KRC Genk, hivyo kutokana na mkataba wake wa awali kumalizika mwishoni mwa msimu 2018/2019, kutokana na kuongeza kwa mkataba huo atakuwa Luminus Arena hadi mwaka 2021.

No comments