Miss Tanzania ajitetea kushindwa Miss World

Miss Tanzania, Queen Elizabeth Makune amefunguka sababu za kushindwa kuchukua taji la Miss World mwaka 2018 lililofanyika Sanya nchini China ambapo amesema jukumu kubwa lilibaki kwa nchi yake.

“Nakumbuka nilishasema wakati naenda kushiriki kwamba kushinda Miss World sio kitu nachofanya peke yangu bali tunaingia nchi kama nchi na tunapambana, nimefanya kwa juhudi zangu zote, hivyo jukumu lilibaki kwa serikali na Watanzania“amesema.
  

No comments

Powered by Blogger.