Miss Tanzania ajitetea kushindwa Miss World

“Nakumbuka nilishasema wakati naenda kushiriki kwamba kushinda Miss World sio kitu nachofanya peke yangu bali tunaingia nchi kama nchi na tunapambana, nimefanya kwa juhudi zangu zote, hivyo jukumu lilibaki kwa serikali na Watanzania“amesema.
No comments