Serikali yabadili muda wa mabasi ya abiria kuanza safari

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Engineer Atashasta Nditiye amefanya ziara katika stendi ya mabasi ya Ubungo kwa ajili ya kujionea hali ya abiri na mabasi yanayosafirisha abiria.

No comments

Powered by Blogger.