Ester Matiko mbele ya JPM, “Nimemshika mkono tena mweupe” Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli amefanya ziara yake ya kikazi mkoa wa Mara, ilikuwa zamu ya Tarime mjini Jimboni kwa Mbunge Ester Matiko

Mbunge Ester Matiko alipata nafasi ya kuwahutubia Wananchi wake ambapo alimwomba Rais Magufuli kuwasaidia kuhakikisha maji yanafika katika Jimbo hilo la Tarime

No comments

Powered by Blogger.