Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amekubali kuwa mlezi wa Sinema zetu Film Festival SZIFF 2019 ikiwa leo September 25,2018 wamezindua awamu ya pili ya tuzo hizo na kuongeza baadhi ya vipengele na kufikia 24.
Jokate Mwegelo
amegusua pia kampeni yake ya kutokomeza zero ikiwa amekabidhiwa fedha
taslimu Tshs.Mil.5 na Azam Media ili kuchangia kampeni hiyo ikiwa na
kuwasaidia wanafunzi waliopo kwenye kambi.
No comments