JPM Magufuli kafuta machozi ya Mama asiyeona, DC chupuchupu atumbuliwe

Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo wakati akizungumza na wananchi akiwa njiani kutoka Mugumu kwenda Tarime katika eneo la daraja la mto Mara Wilayani Serengeti na Nyamongo, Nyamwaga na Tarime Mjini Wilayani Tarime ambako ameendelea na ziara yake katika Mkoa wa Mara.
"Nimemtumbua Mkurugenzi TAKUKURU, ana madhambi mengi, mpaka kichwa kinauma"
No comments