“Msije kufikiri sipendi matajiri, waliopata utajiri wao kihalali” JPM

Viwanda vya kampuni ya Lakairo vilivyopo katika eneo la Isangijo Wilaya ya Magu vinajumuisha kiwanda cha kutengeneza vifungashio vya nafaka, kiwanda cha pipi na jojo na kiwanda cha ‘steelwire’ ambavyo ni uwekezaji wa Mbunge wa Jimbo la Rorya Lameck Airo (Lakairo), uliogharimu Bilioni 20.1 na vimeajiri watu 400.
No comments