Ridhiwani Kikwete akanusha taarifa za wanaotaka kumgombanisha na Kiongozi wake mitandaoni

“Kupitia ujumbe mdogo wa Video nilikanusha juu ya maneno hayo kwamba sikuyaandika mimi na wala sina uhusiano wowote na maneno hayo. Lakini la kushangaza baada ya miezi Saba, jambo hilo linaibuka tena leo.”-Ridhiwani
“Ndugu Watanzania wenzangu napenda kuwahakikishia kuwa sihusiki na Maneno hayo na Ninawaomba sana muyapuuze.” amehitimisha Ridhiwani
No comments