Ufaransa watwaa ubingwa wa dunia






Takwimu za Bingwa
Mechi: 7
Wins: 6
Sare: 1
Magoli ya kufunga: 14
Magoli ya kufungwa: 5
Didier Deschamps anakuwa mwanadamu wa 3 duniani kuwahi kubeba kombe la dunia kama mchezaji na pia akiwa kaama kocha. Wengine ni Mario Zagallo na Franz Beckenbauer.
No comments