Mwanamke wa kwanza Muislamu ngazi za juu katika jeshi la Kenya

Katika hafla ya kuapishwa kwa Fatuma Ahmed, rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa Fatuma ni mwanamke wa kwanza Muislamu katika cheo hicho na ni miongoni mwa mfano ya kuingwa na wanawake wengine nchini Kenya.
No comments