Breaking News-Zidane ametangaza maamuzi magumu leo

Zidane ambaye amewahi kuichezea Real Madrid kwa miaka mitano (2001-2006) kama mchezaji leo ametangaza kujiuzulu, Zidane aliapata nafasi ya kuwa kocha wa Real Madrid katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2016 akitokea timu ya Real Madrid ya wachezaji wa akiba (Real Madrid Castilla)
No comments