Yanga vs Singida United Aprill 11

Yanga leo ilikuwa mwenyeji wa Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu na game ikamalizika kwa kufungana sare ya goli 1-1, goli la Singida likifungwa dakika ya 2 ya mchezo na Papy Kambale lakini Yanga walisawazisha dakika za nyongeza kipindi cha kwanza kupitia kwa Abdallah Shaibu ‘Ninja’.

No comments

Powered by Blogger.