Mama wa mtoto aliyedai baba yake ni Lowassa afunguka (Video)

Baada ya siku ya jana binti mmoja kujitokeza kwa RC Makonda akidai yeye ni mtoto wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na kuomba kuonganisha na familia ya mzee huyo, Jumatano hii Mama wa binti huyo amejitokeza kwa RC Makonda na kuzungumzia kwanini mtoto wake huyo amejitokeza sasa na kueleza kwamba baba yake ni mzee Lowassa. Mapema jana mtoto mkubwa wa Edward Lowassa aitwaye, Fred alisema hao kama familia hawatambui kama wanandugu kama huyo.

No comments

Powered by Blogger.