Abdul Nondo amesimamishwa masomo (Suspension) na UDSM


Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi, Abdul Nondo amesimamishwa masomo Chuo Kikuu cha Dar, hadi kesi yake itakapoisha, Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof William Anangisye amethibitisha.
 
Nondo amesimamishwa kuanzia March 26 kwa barua iliyoandikwa na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa William Anangisye.
 

No comments

Powered by Blogger.