WCB Walivyomtambulisha MBOSO JUKWAANI Watu wahamasika zaid

kundi la WCB limefanya utambulisho mwingine wa pili wa msanii Mbosso katika uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke DSM ambapo wasanii wote wa WCB wali-perform na moja ya wasanii hao ni LAVALAVA ambaye alitoa burudani katika viwanja hivyo

No comments

Powered by Blogger.