BALAAH LA DIAMOND MWEMBE YANGA

February 4, 2018 kundi la WCB limefanya utambulisho mwingine wa pili wa msanii Mbosso katika uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke Dar es salaam ambapo wasanii wote wa WCB wali-perform na moja ya wasanii hao ni President wa WCB DIAMOND PLATNUMZ ambaye alitoa burudani katika viwanja hivyo.

No comments

Powered by Blogger.