Bajeti ya Msiba ya Milioni 80 yazungumziwa na Familia ya Akwilina
Festo Kawishe ni Msemaji wa Familia ya aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini ambapo leo February 20, 2018 wamesema mazishi ya mwanafunzi huyo yatagharimu Shilingi Milioni 80.
Hii ndiyo bajeti kamili ya msiba wa binti Aquilina Aqulin Jumla ya gharama zote ni shilingi milioni 80. pic.twitter.com/ICzBMbKKIh— Clouds Media (@CloudsMediaLive) February 20, 2018
No comments