Rais Magufuli aamuru Kikokotoo cha zamani kiendelee hadi 2023

Rais Magufuli ametangaza kuwa kikokotoo kilichokuwa kinatumika kwa kila mfuko kabla ya Mifuko ya Hifadhi za jamii kuunganishwa kiendelee katika kipindi cha mpito hadi mwaka 2023, ambapo wanachama 58,000 ndio Watastaafu katika kipindi hicho.

No comments

Powered by Blogger.