FUNGA MWAKA 2018:Nandy awajengea nyumba Wazazi wake

Kwa mujibu wa Nandy ameeleza kuwa imemchukua takribani mwaka mzima kukamilisha mjengo huo tokea mwaka 2017 mpaka mwishoni mwa mwaka 2018, inaelezwa kuwa mjengo huo upo hapa hapa jijini Dar Es Salaam.
No comments