DC Jokate azungumza changamoto aliyokutana nayo Kisarawe

Ameyasema hayo wakati akiwa mgeni mwalikwa katika uwasilishwaji wa matokeo ya mradi wa shirika la Plan International wa Uwezeshaji kwa Vijana Kiuchumi (Youth Economic Empowerment) ‘YEE‘ iliyoshirikisha mikoa ya Pwani, Dar es Salaam, Mtwara na Lindi ambapo mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Antony Mavunde.
No comments