"Hakuna Baunsa mbele ya serikali"- Mambosasa


Jeshi la Polisi limejipanga vizuri, uchaguzi uliopita 2015, tulikuwa na majimbo kadhaa ndani ya DSM lakini kwa huu wa marudio tuna jimbo moja na kwa sababu hiyo ni seme kwamba Jeshi la Polisi tumejipanga imara na kuhakikisha hakuna mtu atakayeruhusiwa kuingia na kufanya vurugu kwenye uchaguzi” -Mambosasa

 Nimeambiwa kwamba kuna Mabaunsa lakini sijawahi kuona Baunsa anayeweza kupambana na Serikali halafu akabaki na Ubaunsa wake. Namuonea huruma huyo Baunsa aliyejiandaa kupambana na dola, niwashauri tu kuwa mtu haishi kwa kifua kikubwa bali anaishi kwa kutii sheria”-Mambosasa

No comments

Powered by Blogger.