Mahakamani katika kesi Lema na watuhumiwa 61 wa ugaidi
January 16, 2018 watuhumiwa hawa walivua nguo Mahakamani kwa madai ya upelelezi kuchukua muda mrefu bila kukamilika, hata hivyo January 30 mwaka huu zaidi ya watuhumiwa 20 walihukumiwa kifungo cha miezi sita kwa kugoma kuingia Mahakamani kwa ajili ya kesi yao.
Wakati huo huo Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema amewasilisha hoja za kukata rufaa katika Mahakama Kuu akidai Hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi yake ameshindwa kusimamia mwenendo wa kesi hiyo na kupinga kitendo cha Hakimu huyo kuendelea kusikiliza kesi hiyo ikiwa wamekwishakata rufaa ya kutotaka kuendelea naye.
kesi hiyo imeahirishwa hadi June 15 mwaka huu.
Wakati huo huo Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema amewasilisha hoja za kukata rufaa katika Mahakama Kuu akidai Hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi yake ameshindwa kusimamia mwenendo wa kesi hiyo na kupinga kitendo cha Hakimu huyo kuendelea kusikiliza kesi hiyo ikiwa wamekwishakata rufaa ya kutotaka kuendelea naye.
kesi hiyo imeahirishwa hadi June 15 mwaka huu.
No comments