Goli la kwanza la Robin van Persie baada ya miaka 14
Robin van Persie amerudi Feyernoord mwaka huu 2018 akitokea Fenerbahce ya Uturuki na usiku wa jana amefanikiwa kuifungia Feyernoord goli lake la kwanza ikiwa ni baada ya miaka 14 toka alipofanya hivyo mara ya mwisho 2004, Van Persie aliifungia Feyernoord goli la tatu katika ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya FC Groningen.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Robin van Persie alijipatia umaarufu mkubwa akiwa katika club ya Arsenal ya England aliyoichezea kwa miaka nane kabla ya mwaka 2012 kuamua kujiunga na Man United aliyodumu nayo kwa miaka mitatu na baadae akajiunga na Fenerbahce aliyodumu nayo kwa miaka mitatu pia.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Robin van Persie alijipatia umaarufu mkubwa akiwa katika club ya Arsenal ya England aliyoichezea kwa miaka nane kabla ya mwaka 2012 kuamua kujiunga na Man United aliyodumu nayo kwa miaka mitatu na baadae akajiunga na Fenerbahce aliyodumu nayo kwa miaka mitatu pia.
No comments