Alichozungumza Trump kuhusu kuwapa Walimu Bunduki mashuleni
Hatahivyo Rais Donald Trump ameeleza kuwa kuwapatia Walimu silaha kutasaidia kuzuia mashambulio ya risasi yanayofanyika mashuleni kwani wataweza kukabiliana na washambuliaji haraka kabla hayajatokea maafa makubwa.
No comments