Shirika la Umeme nchini (TANESCO) yapata ufadhili wa serikali ya Japan kupitia shirika la JICA
JICA watafufua umeme zaidi ya megawatt 300 kutoka grid ya taifa ambayo itasaidia kuondoa kero za wananchi wa Lindi na Mtwara
Na watahakikisha kuwa itabaki stori tu.
No comments